Mtumishi yeyote wa Shirika la umeme nchini Tanzania (TANESCO) na mweza (MKE/MME) wanaweza kujiunga na chama hiki. Kiingilio cha kujiunga uanachama ni Tshs 100,000/=. Baada ya kujiunga mwanachama anaanza kuweka akiba, amana na pia kununua hisa kidogo kidogo au kwa mkupuo kadiri ya uwezo wake mpaka atakapomaliza Idadi ya hisa zote zinazohitajika kwa ajili ya umiliki wa chama na atakapomaliza atapatiwa Cheti Cha Umiliki wa Hisa UMEME SACCOS LTD.
Fomu za Kujiunga
| Title | Updated | Counter | Link |
|---|---|---|---|
|
May 23, 2026 |
10 |
||
|
May 23, 2026 |
10 |
||
|
May 23, 2026 |
41 |